Exodus 15:4-5


4 aMagari ya vita ya Farao na jeshi lake
amewatosa baharini.
Maafisa wa Farao walio bora sana
wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.

5 bMaji yenye kina yamewafunika,
wamezama mpaka vilindini kama jiwe.

Copyright information for SwhKC